










Tegeta, Dar es Salaam
Nyumba kubwa inauzwa iliyopo Tegeta karibu na Ununio, yenye mazingira mazuri na nafasi kubwa yenye kulaza magari. Nyumba ipo ndani ya fensi, ulinzi wa uhakika na ipo karibu na barabara. Umeme na Maji vinapatikana. Nyumba ina vyumba 6 vikubwa vya kulala na chumba na choo ndani. Sebule, jiko na chumba cha chakula. Karibu uwahi sasa na ujipatie nyumba kubwa.
Bedrooms
6
Bathrooms
3
Car Parking
3
Land Size
900SQM
Price
TSH 200,000,000
Interested in NYUMBA KUBWA INAUZWA? Fill out the form below to reach out.