









Arusha
Heka mbili zilisosajiliwa na zina Haiti. Ziko mita 200 kutoka Barbara kuu ya EAC bypass karibu kabisa na chuo kikuu cha Nelson Mandela. Kwa sasa shamba lilikuwa linatumika kwa kilimo na mifugo. Umeme na maji yanapatikana Shabani na kuna kisima kikubwa kimechimbwa kwa ajili ya maji. Bei ya Shamba lote ni Tshs 120,000,000/-. Kuchangamkia fursa hii kwa jailli ya uwekezaji, wasiliana Fred 0713055086.
Land Size
Two acres
Price
TSH 120,000,000per Property
Interested in Shamba la Heka mbili, Nelson Mandela University Arusha ? Fill out the form below to reach out.